News & Updates

KCJE Ltd Yaendelea na Maandalizi ya Pembejeo na Viuatilifu kwa Msimu wa Korosho 2026/2027

Ushirika wa Mradi wa Pamoja wa Korosho (KCJE Ltd) una jukumu muhimu la kuhakikisha wakulima wanapata pembejeo na viuatilifu bora kwa ajili ya uzalishaji wa korosho kwa wakati muafaka. Katika kujiandaa...

SALAMU ZA HERI YA KRISMASI NA MWAKA MPYA

Uongozi wa Korosho Cooperative Joint Enterprise Ltd (KCJE Ltd) unapenda kutoa salamu za Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya kwa wanachama wote, wadau, washirika wa maendeleo, na watu wote kwa ujumla...

TRA YATOA ZAWADI KWA KCJE LTD KAMA SEHEMU YA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA WALIPA KODI

Leo tarehe 19 Desemba, 2025, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa zawadi kwa Ushirika wa Mradi wa Pamoja wa Korosho (KCJE Ltd) kama sehemu ya kuimarisha ushirikiano mzuri kati ya taasisi ya...

UTOAJI WA VYETI KWA VYAMA WANACHAMA WA KCJE LTD

Katika hatua nyingine muhimu, kikao cha Ushirika wa Mradi wa Pamoja wa Korosho (KCJE Ltd) pia kiliambatana na zoezi la ugawaji wa vyeti kwa Vyama Wanachama vilivyokidhi masharti ya uanachama kwa...

KIKAO CHA KWANZA CHA ROBO YA MWAKA CHA USHIRIKA WA MRADI WA PAMOJA WA KOROSHO (KCJE LTD)

Ushirika wa Mradi wa Pamoja wa Korosho (KCJE Ltd) umefanya kikao chake cha kwanza cha robo ya mwaka 2025/2026 kwa mafanikio makubwa, kikao ambacho kilifanyika katika Ukumbi wa Eden Hotel, Mtwara...

ROTAI Yakabidhi Zawadi za Krismasi na Mwaka Mpya kwa KCJE Ltd

Katika kuadhimisha msimu wa sikukuu, kampuni ya ROTAI—ambayo ni miongoni mwa wazabuni wakubwa na wa kuaminika wa mizani za kidigitali nchini—imekabidhi zawadi maalumu za Krismasi na Mwaka Mpya (Merry...

Heri ya sikukuu ya Uhuru wa Tanzania

KCJE inawatakia wa Tanzania wote heri ya sikukuu ya maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Tanzania...

KCJE Ltd Yapokea Ugeni wa Maafisa wa Kilimo kutoka Wizara ya kilimo

Maafisa wa Ushirika kutoka Wizara ya Kilimo wametembelea Ushirika wa Mradi wa Pamoja wa Vyama Vikuu vya Korosho (KCJE Ltd) kwa lengo la kuangazia na kukagua mnyororo wa upokeaji na usambazaji wa...