Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Abdallah Mwaipaya, ameipongeza Korosho Cooperative Joint Enterprise (KCJE) Limited kwa mafanikio makubwa iliyoyapata katika kuimarisha sekta ya korosho nchini, akisema…
Continue Reading....Category: blogs
VIONGOZI WA VYAMA VYA USHIRIKA WATAKIWA KUZINGATIA UTAWALA BORA
Viongozi wa Vyama vya Ushirika nchini wametakiwa kuzingatia misingi ya uongozi na utawala bora ili kuongeza uwajibikaji, uwazi na ufanisi katika utoaji wa huduma kwa…
Continue Reading....KCJE YAJIVUNIA MAFANIKIO YA KUONGEZA UZALISHAJI WA KOROSHO, YAWEKA MIKAKATI YA UWEKEZAJI
Ushirikiano wa Vyama Vikuu vya Ushirika vinavyounda Korosho Cooperative Joint Enterprise (KCJE) Limited umeendelea kuimarisha sekta ya korosho nchini, huku hatua mbalimbali zilizochukuliwa katika usambazaji…
Continue Reading....KCJE YAWAJENGEA UWEZO WADAU, YASIFIWA KWA KUIMARISHA USHIRIKA NA TIJA KWA WAKULIMA
Korosho Cooperative Joint Enterprise (KCJE) Limited imeendelea kupongezwa kwa juhudi zake za kuwajengea uwezo wadau wa sekta ya Ushirika, kupitia mafunzo yanayolenga kuongeza uelewa kuhusu…
Continue Reading....NDEGE NYUKI (DRONE)
Leo katika ofisi za KCJE Ltd, tumepokea wageni kutoka MAT Technology wakiambatana na TCDC kwa ajili ya kuwasilisha teknolojia ya kisasa ya matumizi ya drone…
Continue Reading....KCJE LTD YAENDELEA NA MAANDALIZI YA PEMBEJEO NA VIUATILIFU KWA MSIMU WA KOROSHO 2026/2027
Ushirika wa Mradi wa Pamoja wa Korosho (KCJE Ltd) una jukumu muhimu la kuhakikisha wakulima wanapata pembejeo na viuatilifu bora kwa ajili ya uzalishaji wa…
Continue Reading....TRA YATOA ZAWADI KWA KCJE LTD KAMA SEHEMU YA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA WALIPA KODI
Leo tarehe 19 Desemba, 2025, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa zawadi kwa Ushirika wa Mradi wa Pamoja wa Korosho (KCJE Ltd) kama sehemu ya…
Continue Reading....UTOAJI WA VYETI KWA VYAMA WANACHAMA WA KCJE LTD
Katika hatua nyingine muhimu, kikao cha Ushirika wa Mradi wa Pamoja wa Korosho (KCJE Ltd) pia kiliambatana na zoezi la ugawaji wa vyeti kwa Vyama…
Continue Reading....