News & Updates

WADAU WA KOROSHO WATAKIWA KUONGEZA UZALISHAJI, NA KUSIMAMIA UBORA

Wadau wa zao la Korosho nchini wametakiwa kuongeza kasi ya uzalishaji na kuimarisha ubora wa zao hilo ili kuiwezesha Tanzania kuwa mzalishaji namba moja wa Korosho barani Afrika. Wito huo umetolewa na...

KCJE YAPOKEA TANI 5,500 ZA SALFA KUPITIA BANDARI YA MTWARA

Kaimu Meneja Mkuu wa Korosho Cooperative Joint Enterprise (KCJE) Limited, Spicener Rugalela, amesema taasisi hiyo imepokea shehena ya tani 5,500 za salfa ya unga katika Bandari ya Mtwara kwa ajili ya...

TANCCOOPS YAITEMBELEA KCJE, KUJIFUNZA UZOEFU WA KUHUDUMIA WAKULIMA

Mradi wa Pamoja wa Vyama Vikuu vya Ushirika vinavyolima zao la Pamba nchini (TANCCOOPS), ulifanya ziara mkoani Mtwara kwa lengo la kuitembelea Korosho Cooperative Joint Enterprise (KCJE) Limited ili...

NAIBU WAZIRI WA KILIMO ATEMBELEA BANDA LA KCJE NGONGO LINDI

Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde, alitembelea banda la Korosho Cooperative Joint Enterprise (KCJE) Limited katika Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kusini yaliyofanyika katika Viwanja vya...

MWENYEKITI WA CCM MKOA WA MTWARA KCJE IMELETA MABADILIKO MAKUBWA KATIKA SEKTA YA KOROSHO

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mtwara, Mwl. Saidi Nyengedi, ameipongeza Korosho Cooperative Joint Enterprise (KCJE) Limited kwa mafanikio makubwa iliyoyapata katika kipindi cha miaka...

MWAIPAYA AIPONGEZA KCJE KWA MAFANIKIO MAKUBWA SEKTA YA KOROSHO

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Abdallah Mwaipaya, ameipongeza Korosho Cooperative Joint Enterprise (KCJE) Limited kwa mafanikio makubwa iliyoyapata katika kuimarisha sekta ya korosho nchini, akisema...

VIONGOZI WA VYAMA VYA USHIRIKA WATAKIWA KUZINGATIA UTAWALA BORA

Viongozi wa Vyama vya Ushirika nchini wametakiwa kuzingatia misingi ya uongozi na utawala bora ili kuongeza uwajibikaji, uwazi na ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wanachama, hatua inayotazamiwa...

KCJE YAJIVUNIA MAFANIKIO YA KUONGEZA UZALISHAJI WA KOROSHO, YAWEKA MIKAKATI YA UWEKEZAJI

Ushirikiano wa Vyama Vikuu vya Ushirika vinavyounda Korosho Cooperative Joint Enterprise (KCJE) Limited umeendelea kuimarisha sekta ya korosho nchini, huku hatua mbalimbali zilizochukuliwa katika...

KCJE YAWAJENGEA UWEZO WADAU, YASIFIWA KWA KUIMARISHA USHIRIKA NA TIJA KWA WAKULIMA

Korosho Cooperative Joint Enterprise (KCJE) Limited imeendelea kupongezwa kwa juhudi zake za kuwajengea uwezo wadau wa sekta ya Ushirika, kupitia mafunzo yanayolenga kuongeza uelewa kuhusu shughuli...