Ushirika wa Mradi wa Pamoja wa Korosho (KCJE Ltd) umefanya kikao chake cha kwanza cha robo ya mwaka 2025/2026 kwa mafanikio makubwa, kikao ambacho kilifanyika…
Continue Reading....Category: blogs
ROTAI YAKABIDHI ZAWADI ZA KRISMASI NA MWAKA MPYA KWA KCJE LTD
Katika kuadhimisha msimu wa sikukuu, kampuni ya ROTAI—ambayo ni miongoni mwa wazabuni wakubwa na wa kuaminika wa mizani za kidigitali nchini—imekabidhi zawadi maalumu za Krismasi…
Continue Reading....Wajumbe wa Mradi wa Pamoja wa Vyama Vikuu vya Ushirika wa Korosho KCJE LTD Wafanya Ziara ya Mafunzo Tabora
Wajumbe wa Mradi wa Pamoja wa Vyama Vikuu vya Ushirika wa Korosho KCJE LTD Wafanya Ziara ya Mafunzo Tabora Wajumbe wa mradi wa vyama vikuu…
Continue Reading....Ziara ya Viongozi wa KCJE Maghalani kuelekea Msimu wa Korosho
Katika kipindi hiki cha maandalizi kuelekea msimu wa korosho, Mwenyekiti wa Bodi ya Wajumbe wa Korosho Cooperative Joint Enterprise Ltd (KCJE), Ndugu Odas Odas, akiwa…
Continue Reading....Maonesho ya Nane Nane Ngongo mkoani Lindi 2025
Maonesho ya Nane Nane yaliyofanyika Ngongo Mkoani Lindi mwaka 2025 kanda ya Kusini Tanzania. KCJE Ltd Ilionesha bidhaa zake na Wageni mbali mbali walifika na…
Continue Reading....Mkutano Mkuu wa Nne wa Mradi wa Pamoja wa Vyama Vikuu vya Ushirika wa Korosho (KCJE) Wafanyika Kwa Mafanikio
Tarehe 21 Julai 2025, Mradi wa Pamoja wa Vyama Vikuu vya Ushirika wa Korosho (KCJE) umefanya Mkutano Mkuu wa Nne (4) katika ukumbi wa Shangani…
Continue Reading....